msimu wa burudani Highlands fm 92.7

msimu wa burudani Highlands fm 92.7

Wednesday, May 22, 2013

Hijathibitishwa: Polisi wanne, raia kadhaa wauawa. : Ofisi, ambulance zachomwa moto Vurugu za Mtwara



Ofisi zachomwa moto

Ofisi zachomwa moto


Magari ya manispaa nayo yachomwa moto
Magari ya manispaa nayo yachomwa moto


Ambulance nayo yachomwa moto
Ambulance nayo yachomwa moto


mtwara-vurugu

TAFADHALI TAMBUA: Habari hizi zinaripotiwa na baadhi ya wananchi walioko Mtwara. Hazijathibitishwa hivyo zitumie kama muongozo tu, na si kama habari za uhakika


Hadi kufikia saa  (3:00 pm) kuna taarifa kwamba ofisiza CCM (maeneo ya Mdenganamadi na Majengo) zimechomwa moto; askari wanne wameuawa pamoja na wananchi kadhaa. Wananchi wanatumia baruti za kulipulia samaki kuwalipua majengo na askari.Hatari iliyopo ni kuchomwa kwa jengo la ofisi za mkuu wa mkoa. Yote haya ni.
kupinga bomba la gesi kujengwa kuelekea DSM

No comments:

Post a Comment