msimu wa burudani Highlands fm 92.7

msimu wa burudani Highlands fm 92.7

Friday, September 20, 2013

mtu mrefu kuliko wote duniani


“Bao Xishun,ameandikwa katika kitabu cha record za dunia kama ndio mtu mrefu kuliko wote wanaoishi duniani akiwa na 7ft na inchi 8.pichani yuko na mkewe xia shujuan 
mtu mrefu kuliko wooote duniani akisalimiana na mtu mfupi kuliko wote
Ilikuwa ni siku ya furaha baada ya mtu mrefu kuliko wote Duniani Mr BAO XISHUN kutoka Chifeng MONGOLIA alipokutana na mtu mfupi kuliko wote Duniani Mr PING PING siku ya Harusi ya kitamaduni ya Bwana BAO!

No comments:

Post a Comment